14 nayo dhambi ambayo wamefanya kinyume cha moja kati ya mambo hayo imejulikana,+ basi kutaniko litatoa ng’ombe-dume mchanga kwa ajili ya toleo la dhambi na kumleta mbele ya hema la mkutano.
27 Yeye hahitaji kila siku,+ kama wale makuhani wakuu wanavyofanya, kutoa dhabihu, kwanza kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe+ kisha kwa ajili ya zile za watu:+ (kwa maana yeye alifanya hilo mara moja+ kwa wakati wote alipojitoa+ mwenyewe;)