Mambo ya Walawi 14:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha ataitapanya+ mara saba+ juu ya yule anayejitakasa kutokana na ukoma naye atamtangaza kuwa safi,+ naye atamwachilia ndege aliye hai aruke kwenda zake porini.+ Mambo ya Walawi 14:53 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 Naye atamwacha yule ndege aliye hai aende zake nje ya jiji mpaka porini naye atafanya upatanisho+ kwa ajili ya nyumba hiyo; nayo itakuwa safi.
7 Kisha ataitapanya+ mara saba+ juu ya yule anayejitakasa kutokana na ukoma naye atamtangaza kuwa safi,+ naye atamwachilia ndege aliye hai aruke kwenda zake porini.+
53 Naye atamwacha yule ndege aliye hai aende zake nje ya jiji mpaka porini naye atafanya upatanisho+ kwa ajili ya nyumba hiyo; nayo itakuwa safi.