Waebrania 9:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 aliingia, si kwa damu ya mbuzi na ya ng’ombe-dume wachanga,+ bali kwa damu yake mwenyewe,+ mara moja kwa wakati wote ndani ya mahali patakatifu na kupata ukombozi wa milele kwa ajili yetu.+ 1 Petro 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 kulingana na ujuzi wa kimbele wa Mungu Baba,+ kwa kutakaswa kwa roho,+ kusudi wawe watiifu na kunyunyiziwa+ damu ya Yesu Kristo:+ Na mwongezwe fadhili zisizostahiliwa na amani.+
12 aliingia, si kwa damu ya mbuzi na ya ng’ombe-dume wachanga,+ bali kwa damu yake mwenyewe,+ mara moja kwa wakati wote ndani ya mahali patakatifu na kupata ukombozi wa milele kwa ajili yetu.+
2 kulingana na ujuzi wa kimbele wa Mungu Baba,+ kwa kutakaswa kwa roho,+ kusudi wawe watiifu na kunyunyiziwa+ damu ya Yesu Kristo:+ Na mwongezwe fadhili zisizostahiliwa na amani.+