Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 29:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Nawe utamtoa ng’ombe-dume wa toleo la dhambi kila siku kwa ajili ya upatanisho,+ nawe utaitakasa madhabahu kutokana na dhambi kwa kufanya upatanisho juu yake, nawe utaitia mafuta+ ili kuitakasa.

  • Mambo ya Walawi 8:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Naye Musa akamchinja+ na kuichukua damu+ yake na kuitia kwa kidole chake juu ya pembe za madhabahu kuizunguka pande zote na kuitakasa madhabahu kutokana na dhambi, lakini ile damu nyingine akaimimina kwenye msingi wa madhabahu, apate kuitakasa ili afanye upatanisho+ juu yake.

  • Mambo ya Walawi 16:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Naye atafanya upatanisho kwa ajili ya mahali patakatifu kuhusiana na uchafu+ wa wana wa Israeli na kuhusiana na maasi yao katika dhambi zao zote;+ na hivyo ndivyo anavyopaswa kufanya kwa ajili ya hema la mkutano, linalokaa pamoja nao katikati ya uchafu wao.

  • Waebrania 9:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa hiyo ilikuwa lazima kwamba mifano+ ya uhalisi wa vitu vilivyo mbinguni isafishwe kwa njia hizo,+ lakini vitu vya mbinguni vyenyewe visafishwe kwa dhabihu zilizo bora kuliko dhabihu za namna hiyo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki