3 Naye atatoa sehemu ya dhabihu hiyo ya ushirika kuwa toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto, yaani, mafuta+ yanayofunika matumbo, naam, mafuta yote yaliyo juu ya matumbo,+
9 Na kutoka katika dhabihu ya ushirika atatoa mafuta yake kuwa toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto.+ Mkia wote wenye mafuta+ ndio atakaoutoa karibu na uti wa mgongo, na mafuta yanayofunika matumbo, ndiyo, mafuta yote yaliyo juu ya matumbo,+
26 Naye atayafukiza mafuta yake yote kwenye madhabahu kama yale mafuta ya dhabihu ya ushirika;+ naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake kwa ajili ya dhambi zake,+ naye atasamehewa.