Mambo ya Walawi 23:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Hamtafanya kazi ya aina yoyote.+ Ni sheria mpaka wakati usio na kipimo kwa ajili ya vizazi vyenu katika makao yenu yote. Hesabu 29:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “‘Na katika siku ya kumi ya mwezi huu mtafanya mkusanyiko mtakatifu,+ nanyi mtazitesa nafsi zenu.+ Hampaswi kufanya kazi yoyote.+
31 Hamtafanya kazi ya aina yoyote.+ Ni sheria mpaka wakati usio na kipimo kwa ajili ya vizazi vyenu katika makao yenu yote.
7 “‘Na katika siku ya kumi ya mwezi huu mtafanya mkusanyiko mtakatifu,+ nanyi mtazitesa nafsi zenu.+ Hampaswi kufanya kazi yoyote.+