Mambo ya Walawi 18:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Ikiwa mtu yeyote atafanya lolote la mambo yote hayo yenye kuchukiza, basi nafsi zinazoyafanya zitakatiliwa mbali kutoka katikati ya watu wao.+ Mambo ya Walawi 20:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Utawaambia wana wa Israeli, ‘Mtu yeyote wa wana wa Israeli, na mkaaji mgeni yeyote anayekaa akiwa mgeni katika Israeli, anayempa Moleki+ yeyote kati ya uzao wake, lazima auawe. Watu wa nchi watampiga kwa mawe mpaka afe.
29 Ikiwa mtu yeyote atafanya lolote la mambo yote hayo yenye kuchukiza, basi nafsi zinazoyafanya zitakatiliwa mbali kutoka katikati ya watu wao.+
2 “Utawaambia wana wa Israeli, ‘Mtu yeyote wa wana wa Israeli, na mkaaji mgeni yeyote anayekaa akiwa mgeni katika Israeli, anayempa Moleki+ yeyote kati ya uzao wake, lazima auawe. Watu wa nchi watampiga kwa mawe mpaka afe.