18 Hata hivyo, ikiwa nyama yoyote ya dhabihu yake ya ushirika italiwa katika siku ya tatu, yule anayeitoa hatapata kibali.+ Haitahesabiwa kwake.+ Itakuwa kitu kichafu, nayo nafsi ambayo itakula sehemu yake itajibu kwa kosa lake.+
20 “‘Lakini mtu asiye safi na ambaye hatajitakasa, basi, nafsi hiyo lazima ikatiliwe mbali+ kutoka katikati ya kutaniko, kwa sababu amepatia unajisi patakatifu pa Yehova. Maji ya kutakasa hayakunyunyizwa juu yake. Yeye si safi.