7 “Usilitumie jina la Yehova Mungu wako kwa njia isiyofaa,+ kwa maana Yehova hatamwacha bila kuadhibiwa yule anayelitumia jina lake kwa njia isiyofaa.+
11 “‘Usilitumie jina la Yehova Mungu wako katika njia ya ubatili,+ kwa maana Yehova hatamwacha bila kumwadhibu, yeyote ambaye analitumia jina lake kwa njia isiyofaa.+
12 Hata hivyo, akina ndugu, zaidi ya mambo yote, acheni kuapa, naam, ama kwa mbingu ama kwa dunia ama kwa kiapo kingine chochote.+ Bali acheni Ndiyo yenu imaanishe Ndiyo, na Siyo yenu, Siyo, ili msianguke hukumuni.+