Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 5:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 “Ninyi mlisikia kwamba ilisemwa, ‘Mpende jirani+ yako na kumchukia adui yako.’+

  • Mathayo 22:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Ya pili, kama hiyo, ni hii, ‘Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe.’+

  • Waroma 13:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa maana sheria zinazosema, “Usifanye uzinzi,+ Usiue,+ Usiibe,+ Usitamani,”+ na amri nyingine yoyote iliyoko, zimejumlishwa katika neno hili, yaani, “Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe.”+

  • Wagalatia 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana Sheria nzima hupata utimizo+ katika neno moja, yaani: “Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe.”+

  • Yakobo 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi, mkizoea kufanya sheria ya kifalme+ kulingana na andiko: “Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe,”+ mnafanya vema kabisa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki