Mathayo 5:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 “Ninyi mlisikia kwamba ilisemwa, ‘Mpende jirani+ yako na kumchukia adui yako.’+ Mathayo 22:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Ya pili, kama hiyo, ni hii, ‘Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe.’+ Waroma 13:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana sheria zinazosema, “Usifanye uzinzi,+ Usiue,+ Usiibe,+ Usitamani,”+ na amri nyingine yoyote iliyoko, zimejumlishwa katika neno hili, yaani, “Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe.”+ Wagalatia 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana Sheria nzima hupata utimizo+ katika neno moja, yaani: “Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe.”+ Yakobo 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi, mkizoea kufanya sheria ya kifalme+ kulingana na andiko: “Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe,”+ mnafanya vema kabisa.
9 Kwa maana sheria zinazosema, “Usifanye uzinzi,+ Usiue,+ Usiibe,+ Usitamani,”+ na amri nyingine yoyote iliyoko, zimejumlishwa katika neno hili, yaani, “Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe.”+
14 Kwa maana Sheria nzima hupata utimizo+ katika neno moja, yaani: “Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe.”+
8 Basi, mkizoea kufanya sheria ya kifalme+ kulingana na andiko: “Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe,”+ mnafanya vema kabisa.