Mambo ya Walawi 18:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “‘Uchi wa mke wa baba yako usiufunue.+ Ni uchi wa baba yako. Kumbukumbu la Torati 27:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “‘Amelaaniwa yule ambaye hulala na mke wa baba yake, kwa sababu ameufunua upindo wa nguo ya baba yake.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)
20 “‘Amelaaniwa yule ambaye hulala na mke wa baba yake, kwa sababu ameufunua upindo wa nguo ya baba yake.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)