Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 18:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “‘Uchi wa mke wa ndugu yako+ usiufunue. Ni uchi wa ndugu yako.

  • Kumbukumbu la Torati 25:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Ikiwa ndugu wanakaa pamoja na mmoja wao awe amekufa bila kuwa na mwana wa kiume, mke wa yule aliyekufa asiwe wa mwanamume mgeni wa nje. Ndugu-mkwe wake anapaswa kumwendea, naye lazima amchukue awe mke wake na kufanya ndoa ya ndugu-mkwe pamoja naye.+

  • Marko 6:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana Yohana alikuwa amemwambia Herode tena na tena: “Si halali wewe kuwa na mke wa ndugu yako.”+

  • Marko 12:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Mwalimu, Musa alituandikia kwamba ndugu ya mtu akifa na aache mke lakini hakuacha mtoto, ndugu yake+ anapaswa kumchukua mke huyo na kumwinulia ndugu yake uzao kutoka kwa mwanamke huyo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki