Mambo ya Walawi 19:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “‘Msikate ndevu zenu ziwe fupi kuzunguka pande zote, wala usiharibu ncha ya ndevu zako.+ Yeremia 48:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Kwa maana kuna upara+ juu ya vichwa vyote, na ndevu zote zimekatwa.+ Kuna mikato+ juu ya mikono yote, na juu ya viuno kuna nguo za magunia!’”+
37 Kwa maana kuna upara+ juu ya vichwa vyote, na ndevu zote zimekatwa.+ Kuna mikato+ juu ya mikono yote, na juu ya viuno kuna nguo za magunia!’”+