Ezekieli 44:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nao hawatamwoa mjane au mwanamke yeyote aliyetalikiwa,+ lakini wanaweza kuoa mabikira wa uzao wa nyumba ya Israeli+ au mjane ambaye ni mjane wa kuhani.’
22 Nao hawatamwoa mjane au mwanamke yeyote aliyetalikiwa,+ lakini wanaweza kuoa mabikira wa uzao wa nyumba ya Israeli+ au mjane ambaye ni mjane wa kuhani.’