Kutoka 28:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 “Nawe utafanya bamba linalong’aa la dhahabu safi na kulichonga kwa michongo ya muhuri, ‘Utakatifu ni wa Yehova.’+ Mambo ya Walawi 11:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Kwa maana mimi ni Yehova anayewaongoza ninyi kutoka katika nchi ya Misri ili kujionyesha kuwa Mungu kwenu;+ nanyi mtakuwa watakatifu,+ kwa sababu mimi ni mtakatifu.+ Mambo ya Walawi 20:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “‘Nanyi mtajitakasa na kuwa watakatifu,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu. Isaya 43:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Mimi ni Yehova Mtakatifu wenu,+ Muumba wa Israeli,+ Mfalme wenu.”+
36 “Nawe utafanya bamba linalong’aa la dhahabu safi na kulichonga kwa michongo ya muhuri, ‘Utakatifu ni wa Yehova.’+
45 Kwa maana mimi ni Yehova anayewaongoza ninyi kutoka katika nchi ya Misri ili kujionyesha kuwa Mungu kwenu;+ nanyi mtakuwa watakatifu,+ kwa sababu mimi ni mtakatifu.+