Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 28:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 “Nawe utafanya bamba linalong’aa la dhahabu safi na kulichonga kwa michongo ya muhuri, ‘Utakatifu ni wa Yehova.’+

  • Mambo ya Walawi 11:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Kwa maana mimi ni Yehova anayewaongoza ninyi kutoka katika nchi ya Misri ili kujionyesha kuwa Mungu kwenu;+ nanyi mtakuwa watakatifu,+ kwa sababu mimi ni mtakatifu.+

  • Mambo ya Walawi 20:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “‘Nanyi mtajitakasa na kuwa watakatifu,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu.

  • Isaya 43:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Mimi ni Yehova Mtakatifu wenu,+ Muumba wa Israeli,+ Mfalme wenu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki