Mambo ya Walawi 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Ongea na makuhani, wana wa Haruni, nawe uwaambie, ‘Kwa ajili ya nafsi iliyokufa, mtu yeyote asijitie unajisi katikati ya watu wake.+ Hesabu 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yeyote atakayegusa maiti ya nafsi+ yoyote ya binadamu atakuwa asiye safi siku saba.+ Hesabu 19:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na kitu chochote ambacho huenda yule mtu asiye safi atakigusa kitakuwa kisicho safi,+ nayo nafsi itakayokigusa itakuwa najisi mpaka jioni.’”+
21 Na Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Ongea na makuhani, wana wa Haruni, nawe uwaambie, ‘Kwa ajili ya nafsi iliyokufa, mtu yeyote asijitie unajisi katikati ya watu wake.+
22 Na kitu chochote ambacho huenda yule mtu asiye safi atakigusa kitakuwa kisicho safi,+ nayo nafsi itakayokigusa itakuwa najisi mpaka jioni.’”+