Hesabu 15:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “‘Na ikiwa mkaaji mgeni atakaa pamoja nanyi akiwa mgeni au mtu aliye katikati yenu kwa vizazi vyenu, naye atoe toleo linalotolewa kwa njia ya moto, lenye harufu ya kumtuliza Yehova, kama vile mnavyopaswa kufanya, ndivyo anavyopaswa kufanya.+ Hesabu 15:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kutakuwa na sheria moja na uamuzi mmoja wa hukumu kwa ajili yenu na kwa ajili ya mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni pamoja nanyi.’”+
14 “‘Na ikiwa mkaaji mgeni atakaa pamoja nanyi akiwa mgeni au mtu aliye katikati yenu kwa vizazi vyenu, naye atoe toleo linalotolewa kwa njia ya moto, lenye harufu ya kumtuliza Yehova, kama vile mnavyopaswa kufanya, ndivyo anavyopaswa kufanya.+
16 Kutakuwa na sheria moja na uamuzi mmoja wa hukumu kwa ajili yenu na kwa ajili ya mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni pamoja nanyi.’”+