18 Hata hivyo, ikiwa nyama yoyote ya dhabihu yake ya ushirika italiwa katika siku ya tatu, yule anayeitoa hatapata kibali.+ Haitahesabiwa kwake.+ Itakuwa kitu kichafu, nayo nafsi ambayo itakula sehemu yake itajibu kwa kosa lake.+
11 Naye atautikisa huo mganda huku na huku,+ mbele za Yehova ili kupata kibali kwa ajili yenu. Siku itakayofuata sabato kuhani atautikisa huku na huku.