Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa hiyo kila mmoja wao akatupa chini fimbo yake, nazo zikawa nyoka wakubwa; lakini fimbo ya Haruni ikameza fimbo zao.

  • Kutoka 7:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Baadaye Yehova akamwambia Musa: “Mwambie Haruni, ‘Ichukue fimbo yako na kuunyoosha mkono+ wako juu ya maji ya Misri, juu ya mito yao, juu ya mifereji yao ya Nile na juu ya madimbwi yao yenye matete+ na juu ya maji yao yote yaliyozuiliwa, ili yawe damu.’ Na hakika damu itakuwa katika nchi yote ya Misri na katika vyombo vya mbao na katika vyombo vya mawe.”

  • Hesabu 17:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi Yehova akamwambia Musa: “Irudishe fimbo+ ya Haruni mbele ya Ushuhuda huo iwe kitu cha kuwekwa kama ishara+ kwa wana wa uasi,+ ili manung’uniko yao yakome juu yangu, wasije wakafa.”

  • Waebrania 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hicho kilikuwa na chetezo+ cha dhahabu na sanduku la agano+ likiwa limefunikwa kuzunguka pande zote kwa dhahabu,+ ambalo ndani yake mlikuwa na mtungi wa dhahabu wenye mana+ na ile fimbo ya Haruni iliyochipuka+ na yale mabamba+ ya agano;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki