Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 22:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi sasa njoo, tafadhali; uwalaani+ watu hawa kwa ajili yangu, kwa maana ni wenye nguvu kuliko mimi. Huenda nitaweza kuwapiga nami niwafukuze kutoka katika nchi; kwa maana najua vema kwamba yule unayembariki ni mtu aliyebarikiwa naye yule unayemlaani, amelaaniwa.”+

  • Hesabu 23:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kisha akaanza neno lake la kimethali+ na kusema:

      “Kutoka Aramu+ Balaki mfalme wa Moabu alijaribu kuniongoza,

      Kutoka katika milima ya mashariki:

      ‘Njoo, mlaani Yakobo kwa ajili yangu.

      Naam, njoo, washutumu Israeli.’+

  • Hesabu 23:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Hapo Balaki akamwambia Balaamu: “Umenitendea nini? Nilikuchukua ili uwalaani adui zangu, na, tazama, umewabariki kwelikweli.”+

  • Hesabu 24:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ndipo hasira ya Balaki ikawaka juu ya Balaamu naye akapiga makofi,+ naye Balaki akamwambia Balaamu: “Nilikuita ili uwalaani+ adui zangu, na, tazama! umewabariki kabisa mara hizi tatu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki