Hesabu 23:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi Yehova akawasiliana na Balaamu na kutia neno katika kinywa chake na kusema:+ “Rudi kwa Balaki,+ na hili ndilo utakalosema.” Hesabu 24:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Balaamu alipoona kwamba ilikuwa vema machoni pa Yehova kubariki Israeli, hakuenda kama zile mara nyingine+ na kutafuta ishara zozote za bahati mbaya,+ bali alielekeza uso wake nyikani.
16 Basi Yehova akawasiliana na Balaamu na kutia neno katika kinywa chake na kusema:+ “Rudi kwa Balaki,+ na hili ndilo utakalosema.”
24 Balaamu alipoona kwamba ilikuwa vema machoni pa Yehova kubariki Israeli, hakuenda kama zile mara nyingine+ na kutafuta ishara zozote za bahati mbaya,+ bali alielekeza uso wake nyikani.