Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 31:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Jinsi ulivyo mwingi wema wako,+ ambao umewawekea hazina wale wanaokuogopa!+

      Ambao umewapa wale wanaokukimbilia wewe,

      Mbele ya wana wa binadamu.+

  • Zaburi 44:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Ee Mungu, tumesikia kwa masikio yetu,

      Mababu zetu wenyewe wametusimulia+

      Utendaji ambao ulifanya katika siku zao,+

      Siku za zamani za kale.+

  • Zaburi 126:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Yehova amefanya jambo kuu katika yale ambayo ametufanyia.+

      Tumekuwa na shangwe.+

  • Waroma 11:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Lo! Jinsi kilivyo kina cha utajiri+ wa Mungu na hekima+ na ujuzi!+ Jinsi hukumu+ zake zisivyochunguzika na njia zake zisivyotafutika!

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki