18 Lakini Balaamu akajibu na kuwaambia watumishi wa Balaki: “Hata kama Balaki angenipa nyumba yake ikiwa imejaa fedha na dhahabu, singeweza kupita agizo la Yehova Mungu wangu, ili kufanya jambo dogo au kubwa.+
38 Basi Balaamu akamwambia Balaki: “Tazama, nimekuja kwako sasa. Je, nitaweza kusema jambo fulani?+ Neno ambalo Mungu atatia kinywani mwangu ndilo nitakalosema.”+