Mwanzo 46:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Mtasema, ‘Watumishi wako wamekuwa wafugaji sikuzote tangu ujana wetu mpaka sasa, sisi na pia mababu zetu,’+ ili mpate kuishi katika nchi ya Gosheni,+ kwa sababu kila mchungaji wa kondoo ni chukizo katika nchi ya Misri.”+ Kumbukumbu la Torati 2:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Ila wanyama wa kufugwa ndio tuliochukua wawe nyara zetu, pamoja na nyara za majiji tuliyokuwa tumeteka.+
34 Mtasema, ‘Watumishi wako wamekuwa wafugaji sikuzote tangu ujana wetu mpaka sasa, sisi na pia mababu zetu,’+ ili mpate kuishi katika nchi ya Gosheni,+ kwa sababu kila mchungaji wa kondoo ni chukizo katika nchi ya Misri.”+
35 Ila wanyama wa kufugwa ndio tuliochukua wawe nyara zetu, pamoja na nyara za majiji tuliyokuwa tumeteka.+