6 Naye ataendelea kukaa chini ya ulinzi wenu mpaka siku ya kumi na nne ya mwezi huu,+ nalo kutaniko zima la kusanyiko la Israeli litamchinja katikati ya zile jioni mbili.+
3 Katika siku ya kumi na nne ya mwezi huu katikati ya zile jioni mbili+ mtaitayarisha katika wakati wake uliowekwa. Kulingana na sheria zake zote na utaratibu wake wote wa kawaida mtaitayarisha.”+
16“Mwezi wa Abibu+ na uadhimishwe, nawe utasherehekea pasaka kwa Yehova Mungu wako,+ kwa sababu katika mwezi wa Abibu Yehova Mungu wako alikutoa Misri wakati wa usiku.+