Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 30:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Na wewe, utageuka uisikilize sauti ya Yehova na kufanya amri zake zote ninazokuamuru leo.+

  • Yoshua 22:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ila tu muwe waangalifu sana katika kutimiza amri+ na sheria ambazo Musa mtumishi wa Yehova aliwaamuru ninyi, kwa kumpenda Yehova Mungu wenu+ na kwa kutembea katika njia zake zote+ na kwa kushika amri zake+ na kwa kushikamana naye+ na kwa kumtumikia+ kwa moyo wenu wote+ na kwa nafsi yenu yote.”+

  • Mhubiri 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Huu ndio mwisho wa mambo, kila jambo limekwisha sikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na kushika amri zake.+ Kwa maana huo ndio wajibu wote wa mwanadamu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki