Kutoka 19:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Shuka, uwaonye watu, wasijaribu kupenya kwa Yehova ili kumwona na wengi wao walazimike kuanguka.+ 1 Samweli 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye akawapiga watu wa Beth-shemeshi,+ kwa maana walikuwa wamelitazama sanduku la Yehova. Basi kati ya watu akapiga na kuua watu 70—watu 50,000—kisha watu wakaanza kuomboleza kwa sababu Yehova alikuwa amewapiga watu hao kwa mauaji makubwa.+
21 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Shuka, uwaonye watu, wasijaribu kupenya kwa Yehova ili kumwona na wengi wao walazimike kuanguka.+
19 Naye akawapiga watu wa Beth-shemeshi,+ kwa maana walikuwa wamelitazama sanduku la Yehova. Basi kati ya watu akapiga na kuua watu 70—watu 50,000—kisha watu wakaanza kuomboleza kwa sababu Yehova alikuwa amewapiga watu hao kwa mauaji makubwa.+