Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 kuanzia umri wa miaka 30+ na zaidi mpaka miaka 50,+ wale wote wanaoingia katika kikundi+ cha utumishi ili kufanya kazi katika hema la mkutano.

  • Hesabu 4:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kuanzia umri wa miaka 30 na zaidi mpaka miaka 50 utawaandikisha,+ wote wanaokuja kuingia katika kikundi cha utumishi ili kutoa utumishi katika hema la mkutano.

  • Hesabu 4:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Kuanzia umri wa miaka 30 na zaidi mpaka miaka 50 utawaandikisha, wote wanaoingia katika kikundi cha utumishi ili kutoa utumishi wa hema la mkutano.+

  • Hesabu 4:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 kuanzia umri wa miaka 30+ na zaidi mpaka miaka 50,+ wote walioingia katika kikundi cha utumishi kwa ajili ya utumishi katika hema la mkutano.+

  • Hesabu 4:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 kuanzia umri wa miaka 30 na zaidi mpaka miaka 50, wote ambao waliingia katika kikundi cha utumishi kwa ajili ya utumishi katika hema la mkutano,+

  • Hesabu 8:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Naye atawahudumia ndugu zake katika hema la mkutano kwa kutimiza wajibu huo, lakini hatatoa utumishi wowote. Utawafanyia Walawi hivyo katika wajibu wao mbalimbali.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki