23 Kuanzia umri wa miaka 30 na zaidi mpaka miaka 50 utawaandikisha,+ wote wanaokuja kuingia katika kikundi cha utumishi ili kutoa utumishi katika hema la mkutano.
30 Kuanzia umri wa miaka 30 na zaidi mpaka miaka 50 utawaandikisha, wote wanaoingia katika kikundi cha utumishi ili kutoa utumishi wa hema la mkutano.+
26 Naye atawahudumia ndugu zake katika hema la mkutano kwa kutimiza wajibu huo, lakini hatatoa utumishi wowote. Utawafanyia Walawi hivyo katika wajibu wao mbalimbali.”+