45 “Chukua Walawi mahali pa wazaliwa wote wa kwanza kati ya wana wa Israeli, na wanyama wa kufugwa wa Walawi mahali pa wanyama wao wa kufugwa; na Walawi watakuwa wangu.+ Mimi ni Yehova.
9 Je, ni jambo dogo sana kwenu ya kwamba Mungu wa Israeli amewatenga+ ninyi mbali na kusanyiko la Israeli ili kuwaleta ninyi kwake mpate kuendeleza utumishi wa maskani ya Yehova na kusimama mbele ya kusanyiko ili kuwahudumia,+