Hesabu 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 kuanzia umri wa miaka 30+ na zaidi mpaka miaka 50,+ wale wote wanaoingia katika kikundi+ cha utumishi ili kufanya kazi katika hema la mkutano. Hesabu 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na Haruni atawasogeza Walawi huku na huku mbele za Yehova kama toleo la kutikisa+ kutoka kwa wana wa Israeli, nao wataendeleza utumishi wa Yehova.+
3 kuanzia umri wa miaka 30+ na zaidi mpaka miaka 50,+ wale wote wanaoingia katika kikundi+ cha utumishi ili kufanya kazi katika hema la mkutano.
11 Na Haruni atawasogeza Walawi huku na huku mbele za Yehova kama toleo la kutikisa+ kutoka kwa wana wa Israeli, nao wataendeleza utumishi wa Yehova.+