Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Naye Musa akawa mchungaji wa kundi la Yethro,+ kuhani wa Midiani, aliyekuwa mwana-mkwe wake.+ Alipokuwa akiliongoza kundi kuelekea upande wa magharibi wa nyika, mwishowe akafika kwenye mlima wa Mungu wa kweli,+ Horebu.+

  • Kutoka 19:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Naye Musa akapanda kwenda kwa Mungu wa kweli, na Yehova akaanza kumwita toka mlimani,+ na kusema: “Hivi ndivyo utakavyoiambia nyumba ya Yakobo na kuwaambia wana wa Israeli,

  • Kutoka 24:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na utukufu+ wa Yehova ukaendelea kukaa juu ya Mlima Sinai,+ nalo wingu likaendelea kuufunika kwa siku sita. Mwishowe katika siku ya saba akamwita Musa kutoka katikati ya lile wingu.+

  • Kumbukumbu la Torati 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Yehova Mungu wetu alifanya agano pamoja nasi katika Horebu.+

  • 1 Wafalme 19:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi akaamka, akala na kunywa, naye akazidi kwenda katika nguvu za chakula kile kwa siku 40,+ mchana na usiku, mpaka Horebu, mlima wa Mungu wa kweli.+

  • Malaki 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Ikumbukeni sheria ya Musa mtumishi wangu niliyomwamuru katika Horebu kuhusu Israeli wote, hata masharti na maamuzi ya hukumu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki