11 Naye Musa akaanza kuutuliza uso wa Yehova Mungu+ wake na kusema: “Kwa nini, Ee Yehova, hasira+ yako iwake juu ya watu wako ambao uliwatoa katika nchi ya Misri kwa nguvu kuu na kwa mkono wenye nguvu?
19 Kwa maana niliogopa kwa sababu ya hasira kali ambayo Yehova alikuwa ameghadhibika kuwaelekea ninyi kufikia hatua ya kuwaangamiza ninyi.+ Hata hivyo, Yehova alinisikiliza pia wakati huo.+
16 Kwa hiyo ungameni+ waziwazi dhambi zenu kwa mtu na mwenzake na kusali kwa ajili ya mtu na mwenzake, ili mponywe.+ Dua ya mtu mwadilifu, inapofanya kazi, ina nguvu nyingi.+