Zaburi 78:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Nao wakala na kujishibisha sana,+Naye akawaletea walichotamani.+ Zaburi 106:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye akawapa ombi lao+Na kuwatumia ugonjwa unaodhoofisha ndani ya nafsi yao.+