Hesabu 33:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Halafu wakaondoka katika nyika ya Sinai, wakapiga kambi Kibroth-hataava.+ Kumbukumbu la Torati 9:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Na zaidi ya hayo, huko Tabera+ na huko Masa+ na huko Kibroth-hataava+ mlimkasirisha Yehova.+