-
Mambo ya Walawi 10:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Kwa hiyo Musa akamwambia Haruni na Eleazari na Ithamari wale wanawe wengine: “Msiache vichwa vyenu vikose kuwa nadhifu,+ wala msiyararue mavazi yenu, msije mkafa wala asije akalikasirikia kusanyiko lote;+ lakini ndugu zenu wa nyumba yote ya Israeli watalilia kule kuteketeza, ambako Yehova aliteketeza.
-
-
Hesabu 8:19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
19 Nami nitamkabidhi Haruni na wanawe hao Walawi wakiwa watu waliokabidhiwa katikati ya wana wa Israeli,+ ili kuendeleza utumishi wa wana wa Israeli katika hema la mkutano+ na kufanya upatanisho kwa ajili ya wana wa Israeli, ili pigo lolote lisitukie katikati ya wana wa Israeli+ kwa sababu wana wa Israeli wanapakaribia mahali patakatifu.”
-