Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa hiyo Musa akamwambia Haruni na Eleazari na Ithamari wale wanawe wengine: “Msiache vichwa vyenu vikose kuwa nadhifu,+ wala msiyararue mavazi yenu, msije mkafa wala asije akalikasirikia kusanyiko lote;+ lakini ndugu zenu wa nyumba yote ya Israeli watalilia kule kuteketeza, ambako Yehova aliteketeza.

  • Hesabu 8:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nami nitamkabidhi Haruni na wanawe hao Walawi wakiwa watu waliokabidhiwa katikati ya wana wa Israeli,+ ili kuendeleza utumishi wa wana wa Israeli katika hema la mkutano+ na kufanya upatanisho kwa ajili ya wana wa Israeli, ili pigo lolote lisitukie katikati ya wana wa Israeli+ kwa sababu wana wa Israeli wanapakaribia mahali patakatifu.”

  • Hesabu 16:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Kisha Musa akamwambia Haruni: “Chukua chetezo utie ndani yake moto kutoka juu ya madhabahu+ na kutia uvumba nawe uende kwenye kusanyiko haraka na kufanya upatanisho kwa ajili yao,+ kwa sababu hasira imetoka usoni pa Yehova.+ Pigo limeanza!”

  • Hesabu 18:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nanyi mtashika wajibu wenu kwa mahali patakatifu+ na wajibu wenu kwa madhabahu,+ ili hasira+ zaidi isitokee juu ya wana wa Israeli.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki