Hesabu 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi yule aliyetoa toleo lake katika siku ya kwanza akawa Nashoni+ mwana wa Aminadabu wa kabila la Yuda. Hesabu 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa hiyo ule mgawanyo wa makabila matatu wa kambi ya wana wa Yuda ndio ulioondoka kwanza kabisa, kwa majeshi yao,+ naye Nashoni+ mwana wa Aminadabu alikuwa juu ya jeshi la mgawanyo huo. Ruthu 4:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 na Aminadabu+ akamzaa Nashoni;+ na Nashoni akamzaa Salmoni; 1 Mambo ya Nyakati 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ramu naye akamzaa Aminadabu.+ Naye Aminadabu akamzaa Nashoni+ mkuu wa wana wa Yuda. Mathayo 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ramu akamzaa Aminadabu;Aminadabu akamzaa Nashoni;+Nashoni akamzaa Salmoni;+
12 Basi yule aliyetoa toleo lake katika siku ya kwanza akawa Nashoni+ mwana wa Aminadabu wa kabila la Yuda.
14 Kwa hiyo ule mgawanyo wa makabila matatu wa kambi ya wana wa Yuda ndio ulioondoka kwanza kabisa, kwa majeshi yao,+ naye Nashoni+ mwana wa Aminadabu alikuwa juu ya jeshi la mgawanyo huo.