3 Na ikawa kwamba katika mwaka wa 40,+ katika mwezi wa kumi na moja, siku ya kwanza ya mwezi huo, Musa akasema na wana wa Israeli kulingana na yote ambayo Yehova alikuwa amemwamuru kwa ajili yao,
14 Na siku tulizotembea kutoka Kadesh-barnea mpaka tulipovuka bonde la mto la Zeredi zilikuwa miaka 38, mpaka kizazi chote cha wanaume wa vita kilipokuwa kimefikia mwisho wake kutoka katika kambi, kama vile Yehova alivyokuwa amewaapia.+