31 Na wajibu+ wao ulikuwa ni lile Sanduku+ na meza+ na kinara cha taa+ na madhabahu+ na vyombo+ vya mahali patakatifu ambavyo wangevitumia kuhudumu na kisitiri,+ na utumishi wake wote.
36 Na uangalizi ambao wana wa Merari walipewa uwe wajibu wao ulikuwa kusimamia viunzi+ vya maskani na fito+ zake na nguzo+ zake na vikalio vyake na vyombo+ vyake vyote na utumishi+ wake wote,