Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 3:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na wajibu wa wana wa Gershoni+ katika hema la mkutano ulikuwa maskani na lile hema,+ kifuniko+ chake na kisitiri+ cha mwingilio wa hema la mkutano,

  • Hesabu 3:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na wajibu+ wao ulikuwa ni lile Sanduku+ na meza+ na kinara cha taa+ na madhabahu+ na vyombo+ vya mahali patakatifu ambavyo wangevitumia kuhudumu na kisitiri,+ na utumishi wake wote.

  • Hesabu 3:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Na uangalizi ambao wana wa Merari walipewa uwe wajibu wao ulikuwa kusimamia viunzi+ vya maskani na fito+ zake na nguzo+ zake na vikalio vyake na vyombo+ vyake vyote na utumishi+ wake wote,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki