Kutoka 21:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini ikiwa mtu hakuvizia naye Mungu wa kweli aruhusu jambo hilo litokee mkononi mwake,+ basi nitakuwekea mahali anapoweza kukimbilia.+ Hesabu 35:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mtatoa majiji matatu upande huu wa Yordani,+ na majiji matatu mtatoa katika nchi ya Kanaani.+ Yatatumika yakiwa majiji ya makimbilio. Yoshua 20:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Basi wakayapa hali ya utakatifu majiji ya Kedeshi+ katika Galilaya katika eneo lenye milima la Naftali, na Shekemu+ katika eneo lenye milima la Efraimu, na Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni, katika eneo lenye milima la Yuda.
13 Lakini ikiwa mtu hakuvizia naye Mungu wa kweli aruhusu jambo hilo litokee mkononi mwake,+ basi nitakuwekea mahali anapoweza kukimbilia.+
14 Mtatoa majiji matatu upande huu wa Yordani,+ na majiji matatu mtatoa katika nchi ya Kanaani.+ Yatatumika yakiwa majiji ya makimbilio.
7 Basi wakayapa hali ya utakatifu majiji ya Kedeshi+ katika Galilaya katika eneo lenye milima la Naftali, na Shekemu+ katika eneo lenye milima la Efraimu, na Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni, katika eneo lenye milima la Yuda.