Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 25:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Nanyi mtawapitisha wawe urithi kwa wana wenu baada yenu ili wawarithi kama miliki mpaka wakati usio na kipimo.+ Mnaweza kuwatumia kama wafanyakazi, lakini juu ya ndugu zenu wana wa Israeli, msikanyagane, kwa uonevu.+

  • Kumbukumbu la Torati 20:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Hivyo ndivyo utakavyoyafanyia majiji yote yaliyo mbali sana nawe ambayo si majiji ya mataifa haya.

  • Yoshua 9:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Basi sasa Yoshua akawaita na kuwaambia: “Kwa nini mlitufanyia ujanja, mkisema, ‘Tumetoka mbali sana na ninyi,’+ na kumbe mnakaa kati yetu?+

  • Yoshua 9:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Basi Yoshua akawafanya+ siku hiyo kuwa wakusanyaji wa kuni na watekaji wa maji kwa ajili ya kusanyiko+ na kwa ajili ya madhabahu ya Yehova, mpaka leo hii, mahali ambapo angechagua.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki