9 Lakini wana wa Israeli wakawachukua mateka wanawake wa Midiani na watoto wao wadogo;+ na wanyama wao wote wa kufugwa na mifugo yao yote na riziki yao yote wakaipora.
14 Utapora kwa ajili yako+ wanawake tu na watoto wadogo+ na wanyama wa kufugwa+ na kila kitu kitakachokuwa jijini, nyara zake zote; nawe utakula nyara za adui zako, ambao Yehova Mungu wako amekupa wewe.+