13 “Ole wake anayejenga nyumba yake,+ lakini si kwa uadilifu, na vyumba vyake vya juu, lakini si kwa haki, kwa kutumia mwanadamu mwenzake anayetumikia bure, na ambaye hampi malipo yake;+
8 “Ilipofika jioni,+ bwana wa shamba la mizabibu akamwambia msimamizi wake, ‘Waite wafanyakazi na kuwalipa mshahara wao,+ ukianza na yule wa mwisho mpaka yule wa kwanza.’