Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 28:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa hiyo Isaka akamwacha Yakobo aende, naye akafunga safari kwenda Padan-aramu, kwa Labani mwana wa Bethueli Msiria,+ ndugu ya Rebeka,+ mama ya Yakobo na Esau.+

  • Mwanzo 31:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Nina jumla ya miaka 20 nyumbani kwako. Mimi nimekutumikia miaka 14 kwa ajili ya binti zako wawili na miaka 6 kwa ajili ya kundi lako, nawe ulizidi kubadili mshahara wangu mara kumi.+

  • Mwanzo 31:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Kama Mungu wa baba yangu,+ Mungu wa Abrahamu na aliye Hofu ya Isaka,+ hangekuwa upande wangu, wewe ungeniacha sasa niende zangu nikiwa mikono mitupu. Taabu na kazi ya mikono yangu Mungu ameona, na kwa hiyo akakukaripia usiku uliopita.”+

  • Hosea 12:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na Yakobo akakimbia kwenda katika nchi ya Siria,+ na Israeli+ akaendelea kutumikia apate mke,+ naye akalinda kondoo apate mke.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki