5 Kwa hiyo Isaka akamwacha Yakobo aende, naye akafunga safari kwenda Padan-aramu, kwa Labani mwana wa Bethueli Msiria,+ ndugu ya Rebeka,+ mama ya Yakobo na Esau.+
41 Nina jumla ya miaka 20 nyumbani kwako. Mimi nimekutumikia miaka 14 kwa ajili ya binti zako wawili na miaka 6 kwa ajili ya kundi lako, nawe ulizidi kubadili mshahara wangu mara kumi.+
42 Kama Mungu wa baba yangu,+ Mungu wa Abrahamu na aliye Hofu ya Isaka,+ hangekuwa upande wangu, wewe ungeniacha sasa niende zangu nikiwa mikono mitupu. Taabu na kazi ya mikono yangu Mungu ameona, na kwa hiyo akakukaripia usiku uliopita.”+