1 Samweli 17:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Na huyo Mfilisti akaendelea kumwambia Daudi: “Wewe nikaribie tu, nyama yako nitawapa ndege wa mbinguni na wanyama wa mwituni.”+ Zaburi 79:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wamewapa ndege wa mbinguni maiti ya watumishi wako iwe chakula chao,+Na nyama ya washikamanifu wako kwa wanyama-mwitu wa dunia.+ Yeremia 7:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na maiti za watu hawa zitakuwa chakula cha viumbe vinavyoruka vya mbinguni na cha wanyama wa dunia, pasipo mtu yeyote wa kuwatetemesha.+
44 Na huyo Mfilisti akaendelea kumwambia Daudi: “Wewe nikaribie tu, nyama yako nitawapa ndege wa mbinguni na wanyama wa mwituni.”+
2 Wamewapa ndege wa mbinguni maiti ya watumishi wako iwe chakula chao,+Na nyama ya washikamanifu wako kwa wanyama-mwitu wa dunia.+
33 Na maiti za watu hawa zitakuwa chakula cha viumbe vinavyoruka vya mbinguni na cha wanyama wa dunia, pasipo mtu yeyote wa kuwatetemesha.+