Isaya 5:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova wa majeshi ameapa masikioni mwangu kwamba nyumba nyingi, ingawa ni kubwa na nzuri, zitakuwa kitu cha kushangaza kabisa, bila mkaaji.+ Maombolezo 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Fungu la urithi wetu limeenda kwa wageni, nyumba zetu kwa watu wa kutoka ugenini.+ Sefania 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na mali yao itakuwa ya kunyakuliwa na nyumba zao zitakuwa mahame yenye ukiwa.+ Nao watajenga nyumba, lakini hawatakaa humo;+ nao watapanda mashamba ya mizabibu, lakini hawatakunywa divai yake.+
9 Yehova wa majeshi ameapa masikioni mwangu kwamba nyumba nyingi, ingawa ni kubwa na nzuri, zitakuwa kitu cha kushangaza kabisa, bila mkaaji.+
13 Na mali yao itakuwa ya kunyakuliwa na nyumba zao zitakuwa mahame yenye ukiwa.+ Nao watajenga nyumba, lakini hawatakaa humo;+ nao watapanda mashamba ya mizabibu, lakini hawatakunywa divai yake.+