12 Nasi tukaitwaa nchi hii wakati huo; kutoka Aroeri,+ kando ya bonde la Arnoni, na nusu ya eneo lenye milima la Gileadi, na majiji yake nimewapa Warubeni na Wagadi.+
9 kutoka Aroeri,+ lililo kwenye ukingo wa bonde la mto la Arnoni,+ na lile jiji lililo katikati ya hilo bonde la mto, na nchi yote tambarare ya juu ya Medeba+ hadi Diboni;+