Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 14:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ila tu msimwasi Yehova;+ nanyi msiwaogope watu wa nchi hiyo,+ kwa maana wao ni mkate kwetu. Ulinzi wao umegeuka kutoka juu yao,+ na Yehova yuko pamoja nasi.+ Msiwaogope.”+

  • Hesabu 21:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Usimwogope,+ kwa maana nitamtia yeye na watu wake wote na nchi yake mkononi mwako;+ nawe utamtendea kama vile ulivyomtendea Sihoni mfalme wa Waamori, aliyekuwa akikaa Heshboni.”+

  • Kumbukumbu la Torati 20:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Naye atawaambia, ‘Sikieni, Ee Israeli, mnakaribia leo kupigana na adui zenu. Msiache mioyo yenu iogope.+ Msiogope na kukimbia kwa wasiwasi au kutetemeka kwa sababu yao,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki