Hesabu 21:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Basi wakampiga yeye pamoja na wanawe na watu wake wote, mpaka ikawa hakuna mwokokaji aliyebaki kwake;+ nao wakaitwaa nchi yake.+ Yoshua 13:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 ufalme wote wa Ogu+ katika Bashani, aliyetawala katika Ashtarothi na katika Edrei+—yeye ndiye aliyebaki kati ya mabaki ya Warefaimu+—kwa kuwa Musa aliwapiga na kuwanyang’anya nchi na kuwafukuza.+
35 Basi wakampiga yeye pamoja na wanawe na watu wake wote, mpaka ikawa hakuna mwokokaji aliyebaki kwake;+ nao wakaitwaa nchi yake.+
12 ufalme wote wa Ogu+ katika Bashani, aliyetawala katika Ashtarothi na katika Edrei+—yeye ndiye aliyebaki kati ya mabaki ya Warefaimu+—kwa kuwa Musa aliwapiga na kuwanyang’anya nchi na kuwafukuza.+