Kumbukumbu la Torati 32:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wametenda kwa uharibifu;+Wao si watoto wake, kasoro ni yao wenyewe.+Kizazi kilicho kombo na kilichopotoka!+ Waamuzi 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na ikawa kwamba mwamuzi huyo alipokufa, walikuwa wakigeuka na kutenda kwa njia ya uharibifu hata zaidi ya baba zao kwa kufuata miungu mingine ili kuitumikia na kuiinamia.+ Hawakujiepusha na matendo yao na tabia yao ya ukaidi.+ Hosea 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wamejiingiza sana katika kuleta uharibifu,+ kama katika siku za Gibea.+ Atakumbuka kosa lao;+ atakazia fikira dhambi zao.
5 Wametenda kwa uharibifu;+Wao si watoto wake, kasoro ni yao wenyewe.+Kizazi kilicho kombo na kilichopotoka!+
19 Na ikawa kwamba mwamuzi huyo alipokufa, walikuwa wakigeuka na kutenda kwa njia ya uharibifu hata zaidi ya baba zao kwa kufuata miungu mingine ili kuitumikia na kuiinamia.+ Hawakujiepusha na matendo yao na tabia yao ya ukaidi.+
9 Wamejiingiza sana katika kuleta uharibifu,+ kama katika siku za Gibea.+ Atakumbuka kosa lao;+ atakazia fikira dhambi zao.