Mambo ya Walawi 26:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 ndipo mimi, naam, mimi nitatembea kwa kuwapinga;+ nami, naam, mimi nitawapiga mara saba kwa sababu ya dhambi zenu.+ Kumbukumbu la Torati 28:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Na itatukia kwamba ikiwa hutasikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri yake yote na kanuni zake ninazokuamuru wewe leo, laana hizi zote zitakujia pia na kukufikia:+
24 ndipo mimi, naam, mimi nitatembea kwa kuwapinga;+ nami, naam, mimi nitawapiga mara saba kwa sababu ya dhambi zenu.+
15 “Na itatukia kwamba ikiwa hutasikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri yake yote na kanuni zake ninazokuamuru wewe leo, laana hizi zote zitakujia pia na kukufikia:+